Breaking news: Gadaffi has left to south america

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,363
58,386
Guys hizi habari nimezipata kutoka tripol but soon nitakuja na confirmation report so stay tuned
 
BREAKING NEWS:Colonel Gaddafi's son, Sayf al-Islam, appears on Libyan TV and accuses people outside Libya of provoking violence
 
Al Jazeera spoke to one protester on the phone, amid noisy crowds, in Tripoli. Al Jazeera asked if Gaddafi was trying to impose a curfew in the city.

"To be honest with you, no-one is listening to anything he says any more. Apparently, the son was meant to come out and give a speech - and everybody said, you know: '42 years too late, mate. It's not going to happen now, we're not going to listen to you, you better make your move.'

Among the crowd, we obviously have people here who are pro-government who are trying to spread rumours. Somebody will say: 'Al Jazeera just said that Gaddafi has run away from Libya,' and so everybody thinks: 'Okay, let's go home,' and then they make some calls and find it's just a marketing campaign or something just to make us go home.

But I don't think anyone's ready to go home. To be honest with you now, I don't think these people are after Gaddafi. More than anything else now, they're after blood."

Aljazeera
 
Gaddhai's son was on TV , however he confessed that ''the time he went to record'', clear indication it was not live broadcast. He accused foreign inteference and admitted mistakes by the military and untrained police who killed civilians.

He vowed to fight to the last man and last bullet. Meanwhile, the Benghazi city is under control of protesters after capturing the AL-FAIDA brigade HQ. People are on the streets chanting and celebrating. Police and military have melted in the streets.

It has also been reported that fierce clashes between protesters and government machines is going on in Tripol.

Nobody knows why Gaddafi did not appear on TV by himself.
The observers are warning that it is too early to make any conclusion. It could be a tactic to retreat while planning a severe counter attack.

Uncofirmed report had it that , the Tunisia oust leader Ben Ali who was in comatoes state in Saudi hospital has passed away. Still no confirmed report from Saudi officials.

Rabat: Protesters have stormed the street in Rabat demanding for reform. As opposed to Jasmine revolution, the Maghreb people want king to relinguish some power to civilian and local government.

In yemen, clashes between Police and protesters is still going on.
Baharain, the situation is improving as demonstators have been allowed to peacefully gather in Pearl square.

Will update .
stay tune
 
Kikwete naye aikimbie nchi aende zake burma siyo mpaka asubiri maandamano yatokee ndo akimbie nchi ishamshinda hii.
 
I dont think Gaddaf is going to give up so easily!

Lets wait as story unfolds................
 
Gadaffi alishakimbia nchi siku nyingi sana, na ndiyo maana haya maandamano yameanza!

Nchi inatawaliwa na mtoto wake, ingawaje 60% ya wanajeshi hawamtii!

So anguko la Gadaffi litakuwa rahisi zaidi kuliko Mubarak
 
Mapinduzi ya umma yanaendelea hamna haja ya jeshi...kifuatacho ni vuguvugu la huko Africa kaskazini kushuka hapa East Africa na Kusini mwa Africa and so nawaomba watawala wetu wasome alama za nyakati.

Muda wa kutokutii matakwa ya wananchi umefikia kikomo. Peoples Power the only way to bring back the freedom of Tanzanians and all Africans. Aluta Continua
 
Hapa naangalia Al-jazeera live na ninaona wananchi wamechoma moto kituo cha television ya Taifa na jengo kubwa la muhimu kwa serikali ya Libya
 
kama kuna nchi au kikundi cha watu behind this sokomoko kwenye nchi za kiarabu basi amewin, ni vita ya kisayansi ambayo haitaji matumizi ya silaha za kutisha na madege ya ajabu
 
Mtoto wa Ghadaffi yeye amedai kua hawatishwi na kitu chochote watapigana mpaka saa ya mwisho lakini baba yake hataondoka madarakani kwa nguvu ya umma!
 
Kikwete naye aikimbie nchi aende zake burma siyo mpaka asubiri maandamano yatokee ndo akimbie nchi ishamshinda hii.

Mimi mwenzenu nilikuwa mmojawapo wa wakimbiaji wa mabomu ya gongo la mboto. Ni Kati ya wale waliokimbia kuelekea chanika. Nikiwa huko mstuni kwenye maficho, nilijifunza mambo mengi sana. Kwanza ndiko nilikojua kwamba makambi yote ya jeshi yalimpa kura Slaa, yakamnyima Kikwete, Pili, ndipo nilipojua kwamba watanzania wamemchoka kikwete kwa kumaanisha na si kwa utani. Watanzania wengi wanasubiri tu muongozaji wa kuwaelekeza cha kufanya ili kwamba waweze kuingia katika maandamano ya kumuondoa Nduli Kikwete.

Watanzania wanatamani uchaguzi urudiwe ili waweze kufanya maamuzi sahihi. wengi wanajuta sana juu ya uamuzi wao wa kumchagua huyu kiongozi dikteta asiyeyahurumia maisha ya watanzania. Wapo waliofika mahali wakaonyesha wazi kuchoka na utawala huu wa kidemokrasia ambao unawaumiza na kuwakandamiza na kuona ni bora utawala wa kijeshi ambao unafahamika kuwa ni wa kikatili kuliko huu wa kidemokrasia ndani ya udikteta na ukatili mkubwa. Watu walikumbushana juu ya hali ngumu ya maisha iliyotokana na kupanda kwa bei za bidhaa mbalimbli na kuongezeka kwa jumla kwa gharama ya maisha.

Watanzania wapo tayari kuandamana kuanzia sasa, anakosekana tu mhamasishaji. Kama atajitokeza yeyote ambaye yupo tayari kuanzisha hili vagi basi aamini kwamba watanzania wengi watamuunga mkono kwa dhati kabisa. Watanzania wamechoka, na kwa hisia za harakaharaka ni kwamba wanajeshi wanalipua yale mabomu makusudi ili kuongeza hasira za watanzania dhidi ya serikali yao. Na hili linaonekana kupata mafanikio makubwa sana. Maana watanzania wana hasira na Nduli Kikwete kupita kawaida.
 
Hapa naangalia Al-jazeera live na ninaona wananchi wamechoma moto kituo cha television ya Taifa na
jengo kubwa la muhimu kwa serikali ya Libya

Nafikiri siku zake zinahesabika!!baada ya siku tatu nguvu ya umma inaweza ikawa imemaliza kazi yake!!
 
Back
Top Bottom