Wanafunzi wa
Chuo cha Mkwawa wafunga njia
maeneo hayo wakidai pesa zao
(Boom) vurugu zinaendelea na
wamempiga FFU mmoja mpaka
muda
huu taarifa inakuja hapa studio
za radio free afrika hali ilikuwa si
nzuri.
Mchakamchaka chinja ali selema alija!! Hiyo ndiyo kuelimika zaidi maana ukiona dhuruma inatendeka na umesoma huchukui hatua yoyote elimu haijakusaidia. Kwa hali hiyo elimu imewasaidia kwa kuwa wametambua uozo wa viongozi wao.
Ni haki yao kuidai maana wakimaliza huko watakuja kukutana na 8% watakazokatwa kwenye mishahara yao bila zengwe. Kwa nini Bodi watoe pesa kwa zengwe wakati kukata wanachukua kiulaini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.