elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,704
RIP marehemu wote na pole sana kwa walio umia.
Tanzania imegeuka kuwa janga kuu la wazawa. Serikali haieleweki imekua kama ya wahuni.
Maisha magumu na kila siku msoto wa zidi yani kila kukicha afadhali ya jana.
Ajali na matukio ya ajabu kama uuaji wa maarubino, uchunaji ngozi, uibaji wa viungo nyeti vya binadamu ndo yamezidi.
Sijui niichukue kauli ya star wa tears of the sun kwamba GOD HAS ALREADY LEFT TANZANIA? AU ANATUPIMA IMANI YAKE KWAKE.
Tanzania imegeuka kuwa janga kuu la wazawa. Serikali haieleweki imekua kama ya wahuni.
Maisha magumu na kila siku msoto wa zidi yani kila kukicha afadhali ya jana.
Ajali na matukio ya ajabu kama uuaji wa maarubino, uchunaji ngozi, uibaji wa viungo nyeti vya binadamu ndo yamezidi.
Sijui niichukue kauli ya star wa tears of the sun kwamba GOD HAS ALREADY LEFT TANZANIA? AU ANATUPIMA IMANI YAKE KWAKE.