LoyalTzCitizen
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,234
- 883
Habari nilizozipata sasa hivi ni kwamba basi la Abood lililokuwa linaelekea Morogoro toka Dar limepinduka Kibaha Maili Moja na limeua watu kadhaa! mwenye habari kamili na idadi atupe Thank you!!