Mchekechoni
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 279
- 19
Pole J.Kabila. Aangalie wacongo wasije wakamfanya kama baba yake manake wacongo wengine wanasema yeye ni Mnyarwanda!!
no problem, JK wa bongo kamtembelea briefly JK wa congo na mazungumzo yalikuwa faragha kwa lugha ya hapa kwetu bongo, ila usisahau makombora yetu mengi yameteketea hivyo kama yeye ana stock ya kutosha anaweza kutusevu kidogo. Ishu ya kupinduliwa haina link, ni just by the way tu!