Breaking!! Kabila Jr, chup chup kupinduliwa.

kwani ameenda huko lini tena??
Wakari anarudi toka Ivory Coast alipitia Kinshasa

GO9G7500.JPG
 
KINSHASA (Reuters)
In a controversial January 15 move, parliament backed proposals by Kabila to reduce the presidential vote to a single round -- scrapping the possibility of a run-off between the two leading candidates if neither has an absolute majority.
The change means the winner can claim the presidency with less than 50 percent popular support and is seen boosting Kabila's chances of victory because of the fragmented state of the opposition.

guess hilo alijifunza wapi la kuondoa uwezekano wa run off? you guessed it kutoka kwa CCM ambao waliondoa na kufuta sheria iliyotoka run off na sasa mtu anaweza kuwa Rais hata akipita asilimia nusu ya kura zote!
 
Hahahahahahahaaaaaaaaaaa, Mkwere ana Gundu. Saa nyingine hizi co-incidence ni vichekesho. Hata Lowasa alimtembelea mkuu kule thailand ili alete
 
guess hilo alijifunza wapi la kuondoa uwezekano wa run off? you guessed it kutoka kwa CCM ambao waliondoa na kufuta sheria iliyotoka run off na sasa mtu anaweza kuwa Rais hata akipita asilimia nusu ya kura zote!

hiyo sio kitu a kuuliza bwashee
 
kufuta sheria iliyotoka run off........ anaweza kua rais hata akipita asilimia nusu ya kura zote!


Natumaini ulitaka kusema 'kufuta sheria iliyotoa runoff'....na pia ulitaka kusema 'anaweza kua rais hata akipata asilimia nusu ya kura zote' au 'anaweza kua rais hata akipita kwa asilimia nusu ya kura zote'.

Au sio mzee.
 
Pole J.Kabila. Aangalie wacongo wasije wakamfanya kama baba yake manake wacongo wengine wanasema yeye ni Mnyarwanda!!
 
Huu mwaka viongozi wa Afrika wakae mkao wa kuondoka madarakani siyo kwa kura bali kwa nguvu ya umma na ikiwezekana mapinduzi. Huu mwaka utakuwa mwaka wa kukumbukwa sana katika historia ya ukombozi wa Afrika
 
Nani anawajua walikufa manake tuna watanzania wanamlinda Kabila mpaka sasa, isijekuwa ndugu zetu wamepoteza maisha huko jamani.
 
Hilo gundu la 'mkwere' mmeliona baada ya kumchoka? Si zamani sana mlitwambia eti ni 'cguo la mungu'?
DRC wametokea mbali na huyu dogo aliingia nchi ikiwa vipande vipande na kwa kiasi kikubwa amejitahidi kuirudisha nchi kuwa moja. Wakikorogana sasa hivi tutashuhudia failed state kama Somalia na itakuwa vigumu sana kuwaweka pamoja.
 
guess hilo alijifunza wapi la kuondoa uwezekano wa run off? you guessed it kutoka kwa CCM ambao waliondoa na kufuta sheria iliyotoka run off na sasa mtu anaweza kuwa Rais hata akipita asilimia nusu ya kura zote!

Kipengele hiki ni lazima kibadilishwe ili Mgombea u-Rais Tanzania alazimike kuwa na zaidi ya 50%. Katiba Mpya inaandikwa kabla ya 2015.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom