Brazil vs Argentina

kaka fergie yuko jukwaani....
Alex-Ferguson-Doha.jpg
 
inawezekana maana mzee wetu kwa kutengeneza hekima hajambo we utasikia tu hawezi kwenda bure pale
Anawasupport Qatar kwenye bid ya kuhost world cup, ukiona hivyo ujue babu ameenda kutafuta mnunuzi wa club ameshachoshwa na akina Glazers. Hii game niliangalia kipindi cha kwanza ikaniboa nasubiria mechi zinazoanza baadaye.
 
Back
Top Bottom