Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Nikisema hii serikali imejaa vichaa huwa nasema naomba msamaha kwanza
kwa kweli bilion 3 kuwaleta brasil masaa 24 wanaleta ni ni humu ndani kiasi cha kuwalipa hizo pesa....wahazabe wameonyeshwa jana wanakufa na njaa...wajawazito wanakufa jamani mahospitalini wanalala chini kukosa kitanda cha sh 35 alfu leo hii serikali chafu inathubutu kuwalipa bilion 3 brasil binadamu kama sisi huku wazazi wetu madada zetu wakifa jamani
huu si upuuzi???akili zao zimejaa mchanga mtupu
kwa kweli bilion 3 kuwaleta brasil masaa 24 wanaleta ni ni humu ndani kiasi cha kuwalipa hizo pesa....wahazabe wameonyeshwa jana wanakufa na njaa...wajawazito wanakufa jamani mahospitalini wanalala chini kukosa kitanda cha sh 35 alfu leo hii serikali chafu inathubutu kuwalipa bilion 3 brasil binadamu kama sisi huku wazazi wetu madada zetu wakifa jamani
huu si upuuzi???akili zao zimejaa mchanga mtupu