masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
Nilikuwa nasikiliza redio moja ya hapa jijini mchana huu na kati ya mambo yaliyojiri ni utambulisho wa Balozi mmoja mgeni wa Uingereza ambaye nchi yake ilimteua ili aje awe Balozi hapa kwetu.
Balozi huyo shoga kaoa mwanaume mwenziwe. Mambo ya nje kuona hii ni issue hot ilimpelekea JK suala hili na kulingana na Waziri Membe JK alistushwa na kutamka "Yallahi toba!!!' Baadaye akakataa katakata kumpokea Balozi huyo.
Nampongeza JK kwa hilo, limetudhalilisha sana swala la huyu David Cameron kutaka kutushutisha ushoga wao nchi za Dunia ya Tatu
Source :East Africa Radio-Zembwela na Baruti
Balozi huyo shoga kaoa mwanaume mwenziwe. Mambo ya nje kuona hii ni issue hot ilimpelekea JK suala hili na kulingana na Waziri Membe JK alistushwa na kutamka "Yallahi toba!!!' Baadaye akakataa katakata kumpokea Balozi huyo.
Nampongeza JK kwa hilo, limetudhalilisha sana swala la huyu David Cameron kutaka kutushutisha ushoga wao nchi za Dunia ya Tatu
Source :East Africa Radio-Zembwela na Baruti