Echolima
JF-Expert Member
- Oct 28, 2007
- 3,826
- 2,057
Achilia mbali udini n.k. lakini sikutarajia Mtanzania awasifie hao wauaji wakubwa...wameshateketeza roho za binadamu wapatao 180 hadi kufikia leo wakiwemo watoto wachanga...malaika wasiojua chochote!! Kumbe hata Bongo tunao machinjachinja kibao labda hawajapata fursa tu!!
Last edited by a moderator: