Brand new laptops (hp 620) kutoka uk

mjasiria

JF-Expert Member
Jan 10, 2011
4,156
1,849
Wadau kwa yeyote mwenye kuhitaji laptop kuanzia moja na kuendelea, hesabu tatizo lako limeisha. Laptops mpya na nzuri zimeingia kutoka UK. Specifications zake ni kama ifuatavyo:-



  1. Model : HP 620
  2. Intel Core 2 Duo (2.1 GHz) CPU
  3. 3GB DDR3 RAM
  4. 320GB Hard Disk Drive
  5. Bluetooth & Wi-Fi technologies
  6. DVD writer
  7. Integrated webcam
  8. Windows 7 Operating System.


images4.jpeg image3.jpeg images1.jpeg
Kumbuka:

  • Hizi laptops kama nilivyoandika hapo juu ni mpya kabisa, hazijatumika mahali popote maana yake unapewa kitu kutoka katika boksi lake.


BEI:
Jipatie laptop hizi kwa bei rahisi kabisa ya Tshs 850,000/= tu.


Mawasiliano:-
Piga simu 0753965635 au 0714539263


Email:mtukazi@gmail.com
 

Attachments

  • images2.jpeg
    images2.jpeg
    6.9 KB · Views: 58
Samahani wakuu. Huu mzigo umeingia muda si mrefu ndiyo tunatafuta wateja. Natumaini nitakaribishwa vyema.

Thanks.
 
mmmmmhhh ni mpya mkuu? je, quarantee miaka mingapi kama kweli MPYA? maana hp wanatoaga miaka mitatu sasa wewe mingapi maana isije mpya neno tuuu...
 
mmmmmhhh ni mpya mkuu? je, quarantee miaka mingapi kama kweli MPYA? maana hp wanatoaga miaka mitatu sasa wewe mingapi maana isije mpya neno tuuu...
Ni mpya ila tumeziingiza kama kampuni binafsi kwa hyo automatically hiyo guarantee ya hp (ambayo ni 2 yrs) inakuwa applicable kule UK tu.
 
Wadau kwa yeyote mwenye kuhitaji laptop kuanzia moja na kuendelea, hesabu tatizo lako limeisha. Laptops mpya na nzuri zimeingia kutoka UK. Specifications zake ni kama ifuatavyo:-




  1. Model : HP 620
  2. Intel Core 2 Duo (2.1 GHz) CPU
  3. 3GB DDR3 RAM
  4. 320GB Hard Disk Drive
  5. Bluetooth & Wi-Fi technologies
  6. DVD writer
  7. Integrated webcam
  8. Windows 7 Operating System.



View attachment 20012View attachment 20014View attachment 20015
Kumbuka:


  • Hizi laptops kama nilivyoandika hapo juu ni mpya kabisa, hazijatumika mahali popote maana yake unapewa kitu kutoka katika boksi lake.



BEI:
Jipatie laptop hizi kwa bei rahisi kabisa ya Tshs 850,000/= tu.


Mawasiliano:-
Piga simu 0753965635 au 0714539263


Email:mtukazi@gmail.com

Zipo na orijino carrying case na software packages?
 
Hp ya kichina for African countries au HP China for European standard???????????? Maana laki 850 ni nyingi ati!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom