Germany Will Return 'Dinosaur' Remains To Tanzania

X-PASTER

JF-Expert Member
Feb 12, 2007
11,610
1,810
Germany Will Return 'Dinosaur' Remains To Tanzania

setting up proper research facilities and structures or
a museum in the village where the dinosaur originated


599068969.jpg


(Xinhua) -- The governments of Tanzania and Germany will soon strike an agreement for the return to Lindi region in eastern Tanzanian of the remains of huge lizard species known as a dinosaur, which were taken to the European country during the colonial era, the local media reported on Wednesday.

The dinosaur remains were discovered in 1912 at a village in Lindi region and were taken for preservation in Humbolt museum in Berlin , said the report.

Answering questions at the parliament in Dodoma , the new capital in central Tanzania , Tanzanian Minister for Natural Resources and Tourism Ezekiel Maige said that the management of Germany Humbolt museum are more than ready to give back the remains of the dinosaur.

The Tanzanian government had already initiated talks with the Humbolt museum management on the modalities of setting up proper research facilities and structures or a museum in the village where the dinosaur originated, according to Maige.

“The agreement for the implementation of this project is now under discussions by both sides ( Germany and Tanzania )..most probably, it will be signed officially in three months’ times.

“The agreement will include provisions for returning the dinosaur,” said Maige.

Initiated by a Tanzanian delegation that visited Germany in April last year, the agreement provides for training of specialists in historical and cultural preservation of the lizards’ remains at the masters and doctorate level, according to the Tanzanian minister.
 
Huyo ni aina wa dinosaur(Urefu mita 12.6 na uzito unliokadiriwa tani 80) mabaki yake yaliyochukuliwaga kutoka kilima cha Tendaguru mkoani Lindi.Mabaki yaligunduliwa na Engineer Mjerumani mwaka 1906.Kisha baadaye kati ya mwaka 1906 na 1913 mabaki yake yalipelekwa kule Ujerumani katika Natural Science Museum of Berlin.Na sasa Ujerumani inapata kipato kikubwa kwa kivutio hichi.Sasa nilisikia kwamba TZ inafanya mchakato wa kumrudisha nyumbani..Mara eti wanajenga jengo la kuhifadhia hayo mabaki.Sasa serikali ya Tanzania imefikia wapi?Isije ikawa kuna mtu anakula "ten percent" ya mapato ya kutoka Ujerumani?
 
Huyo ni aina wa dinosaur(Urefu mita 12.6 na uzito unliokadiriwa tani 80) mabaki yake yaliyochukuliwaga kutoka kilima cha Tendaguru mkoani Lindi.Mabaki yaligunduliwa na Engineer Mjerumani mwaka 1906.Kisha baadaye kati ya mwaka 1906 na 1913 mabaki yake yalipelekwa kule Ujerumani katika Natural Science Museum of Berlin.Na sasa Ujerumani inapata kipato kikubwa kwa kivutio hichi.Sasa nilisikia kwamba TZ inafanya mchakato wa kumrudisha nyumbani..Mara eti wanajenga jengo la kuhifadhia hayo mabaki.Sasa serikali ya Tanzania imefikia wapi?Isije ikawa kuna mtu anakula "ten percent" ya mapato ya kutoka Ujerumani?



Mkuu umefumba jukwaa lako, Huyo BD ndiyo kitu gani MJUSI, KINYONGA ,MAMBA, NYOKA AU KIFAA CHA KIJESHI. FUNGUKA KAMA GT - WA JF BANAAAA.
 
hili swali lilishawahi kuulizwa bungeni, but hadi leo naona hakuna mtu mwenye shida na hizo pesa, serikali inggekuwa inamtaka huyo dinosour angesharudishwa tena kwa gharama za hao hao wajinga wajerumani na fidia juu , ila tumelala tunaiba hiki kidogo kilichopo ndani
 
Mkuu umefumba jukwaa lako, Huyo BD ndiyo kitu gani MJUSI, KINYONGA ,MAMBA, NYOKA AU KIFAA CHA KIJESHI. FUNGUKA KAMA GT - WA JF BANAAAA.
Huyo ni aina ya Dinosaur aitwaye Brachiosaurus
[h=2][/h]
 
Huyo ni aina wa dinosaur(Urefu mita 12.6 na uzito unliokadiriwa tani 80) mabaki yake yaliyochukuliwaga kutoka kilima cha Tendaguru mkoani Lindi.Mabaki yaligunduliwa na Engineer Mjerumani mwaka 1906.Kisha baadaye kati ya mwaka 1906 na 1913 mabaki yake yalipelekwa kule Ujerumani katika Natural Science Museum of Berlin.Na sasa Ujerumani inapata kipato kikubwa kwa kivutio hichi.Sasa nilisikia kwamba TZ inafanya mchakato wa kumrudisha nyumbani..Mara eti wanajenga jengo la kuhifadhia hayo mabaki.Sasa serikali ya Tanzania imefikia wapi?Isije ikawa kuna mtu anakula "ten percent" ya mapato ya kutoka Ujerumani?[/QUOTE
Siyo kurudisha mabaki tu!na pesa zetu walizotuibia toka mwaka 1906 warudishe na faida yake kwa uhalisia,hawa wajerumani mavi kabisa ndiyo hawa waliogawa Lake Nyasa kwa wamalawi wametuachia ugomvi mkubwa bado wanaendelea kutuibia wezi wakubwa hawa hawana maana kabisa.
 
Wajerumani, Waingereza, Wafaransa, Wareno na Wabeligiji waliigawa Afrika bila kushirikisha Waafrika kati ya 1881 na 1914 ( the lscramble for Africa). Mambo ya man made borders hayakuwepo kabla ya wao kuja Afrika, ni system ambayo walikuwa nayo Ulaya ambayo waliimpose kwenye bara letu. Ukifikiria, who are we as human beings to say we own a lake?? Hayo ni matatizo ya kuweka dollar signs kwenye kila kitu $$$, the western way of thinking. Matokeo yake tunataka mifupa ya dinosaur irudishwe, ambapo kama hawa wazungu wasingekuwepo bado lingekuwa limechimbiwa ardhini. Tunataka Ziwa Nyasa, migodi ya dhahabu na almasi na Tanzanite ipo pia lakini tulikuwa tumezikalia sababu hatukujua, na hatukuwekea dollar signs kwenye vitu kama hivyo. Utajiri ulikuwa unapimwa kwa mifugo kama ng'ombe na mbuzi.

Hiyo mifupa ikirudishwa haitatunzwa, au labda tutaambiwa ilipotea kumbe waziri fulani kauzia museum nyingine China. Wanyama pori kila siku tunasikia wanatoroshwa, wanuziwa zoo marekani, chui wanauziwa mabilionea waarabu waende kutunza kama paka wa nyumbani. Typing all this makes me angry!



Huyo ni aina wa dinosaur(Urefu mita 12.6 na uzito unliokadiriwa tani 80) mabaki yake yaliyochukuliwaga kutoka kilima cha Tendaguru mkoani Lindi.Mabaki yaligunduliwa na Engineer Mjerumani mwaka 1906.Kisha baadaye kati ya mwaka 1906 na 1913 mabaki yake yalipelekwa kule Ujerumani katika Natural Science Museum of Berlin.Na sasa Ujerumani inapata kipato kikubwa kwa kivutio hichi.Sasa nilisikia kwamba TZ inafanya mchakato wa kumrudisha nyumbani..Mara eti wanajenga jengo la kuhifadhia hayo mabaki.Sasa serikali ya Tanzania imefikia wapi?Isije ikawa kuna mtu anakula "ten percent" ya mapato ya kutoka Ujerumani?[/QUOTE
Siyo kurudisha mabaki tu!na pesa zetu walizotuibia toka mwaka 1906 warudishe na faida yake kwa uhalisia,hawa wajerumani mavi kabisa ndiyo hawa waliogawa Lake Nyasa kwa wamalawi wametuachia ugomvi mkubwa bado wanaendelea kutuibia wezi wakubwa hawa hawana maana kabisa.
 
tunamhitaji huyo mjusi kwani ni mali yetu na amechukuliwa kutoka kwetu tanzania,kwani hayo mapato ujerumani ambayo wanayapata angekuwa kwetu tungeyapata na hilo jengo la kumuweka huyo mjusi linachukua muda gani?kama wajerumani walimchukua na kukaa nae takribani karne moja sasa now it is our turn tumechoka kuiangalia hiyo mijusi kwenye national geographic,discovery etc now we want we as tanzanias to see that mjusi physically kama wanafunzi au mtu anaweza fanya tour kwenda jujionae huyo mjusi pale ambapo serikali itajenja hilo jengo.TUMECHOKA NA SIASA WE WANT BACK OUR DINO.WE WANT ACTION ON THIS.:israel:
 
Hatujawa na utashi wa kurejesha mabaki ya huyu mjusi. Ni aibu na ni uzembe hili linatakiwa kuwa moja ya ajenda za nguvu katika wizara na idara yenye dhamana kwa kushirikiana na Mambo ya nchi za nje. Wenzetu hata Egypt walirudishiwa mali zao (na gharama za Usafirishaji siku kibao)!
 
Hivi ilie kichwa ya mkwawa isharudi? wapi kaburi ya mkwawa,isike,kinjeketile,mwinyi kheri na wangineo!
 
Lini Ujerumani Watarejesha Mabaki ya Mjusi Mkubwa (Dinosaur) Wetu.

1.Wadau suala hili lilizungumzwa sana miaka michache iliyopita na kulikuwa na dalili nzuri. Lakini ni muda mrefu sasa sijaskia lolote huku hawa jamaa wakiendelea kupiga hela kwa mjusi wetu huyu.

2.Nimefatilia historia ya mijusi hawa na kuona kumbe kuna mabaki mengine mengi zaidi ya wadudu hawa walioishi zaidi ya miaka milioni 240 iliyopita yalipatikana maeneo ya ziwa nyasa (nyasasaurus) lakini haijaelezwa mabaki yao yalipelekwa wapi na km nchi tunafaidika vipi.

Naona km taifa tunapoteza pesa na historia ya nchi kirahisi hivi.Mwenye ufahamu wa haya mambo msaada pls.
 
ni kweli waliwahi kuzungumzia bungeni miaka ya nyuma wakasema kwamba bado hatujaweza kuwa na uwezo wa kumtunza lakini ujerumani wanapata pesa nyingi kupitia utalii kwanini na sisi tusiwe tunafaidika na hizo pesa au miaka 50 ya uhuru tunashindwa kusimamia hicho kitu
 
Ili weje? Umekosa hoja za kujadili? Aisee kweli dunia ina vituko

Well. Dinosaur ni sumaku tosha ya utalii. Ni kiumbe ambae hajawahi kuonekana 'live' watu hupenda kushuhudia anafananaje.

Nina hakika siku moja Magufuli akipita hapo wizarani (utaliii) hazitapita wiki 2 yule mdudu atarudishwa hapa kwa spidi ya upepo!
 
ni kweli waliwahi kuzungumzia bungeni miaka ya nyuma wakasema kwamba bado hatujaweza kuwa na uwezo wa kumtunza lakini ujerumani wanapata pesa nyingi kupitia utalii kwanini na sisi tusiwe tunafaidika na hizo pesa au miaka 50 ya uhuru tunashindwa kusimamia hicho kitu


Wanatuvuta maskio.wajing.. ndio waliwao
 
wabunge wetu nao vilaza huwa hawafatilii mambo kama hayo wao wameng'ang'ania mambo ya siasa juzi kwenye bajeti ya wizara ya utalii ndio ilikuwa wakati muafaka kuuliza hayo mambo
 
tutumie vizuri kwanza vilivyomo ndo tuangalie vya nje, kwanza vilivyomo tu vinafaidisha wachache japo ni vingi faida hazionekani, iko kimoja mimi leo nitasema cha nini? ni kama kumpigania jirani yangu aezeke bati nyumba yake wakati yangu bado ya manyasi...waache wajerumani waingize pesa zinazosaidia jamii nzima, kuliko likiletwa huku kwetu kuja kutakatisha familia za akina fulani
 
Lini Ujerumani Watarejesha Mabaki ya Mjusi Mkubwa (Dinosaur) Wetu.

1.Wadau suala hili lilizungumzwa sana miaka michache iliyopita na kulikuwa na dalili nzuri. Lakini ni muda mrefu sasa sijaskia lolote huku hawa jamaa wakiendelea kupiga hela kwa mjusi wetu huyu.

2.Nimefatilia historia ya mijusi hawa na kuona kumbe kuna mabaki mengine mengi zaidi ya wadudu hawa walioishi zaidi ya miaka milioni 240 iliyopita yalipatikana maeneo ya ziwa nyasa (nyasasaurus) lakini haijaelezwa mabaki yao yalipelekwa wapi na km nchi tunafaidika vipi.

Naona km taifa tunapoteza pesa na historia ya nchi kirahisi hivi.Mwenye ufahamu wa haya mambo msaada pls.

https://www.jamiiforums.com/jamii-i...achiosaurus-dinosaur-atarudishwa-lini-tz.html
 
Back
Top Bottom