Wakati umechoka kwa kazi, una kizunguzungu kwa kuzunguka sana kutafuta petrol na hatimaye umefika nyumbani kupumzika unakutana na utundu huu, aisee CD nimecheka nahisi nimetumia energy nyingi sana... duhNini maana ya kusimamisha? Nahisi ban inaninyemelea. Ngoja nikae kimya kwanza niangalie upepo unaelekea wapi.
CHANGA LA MACHO HILO BP WANAMPANGO WAKUONDOKA BONGO
BP Ceases Its Country Operations
It is end of an era for BP Tanzania, .......... The decision is likely to affect Tanzania's petroleum marketing industry ......... Until recently, BP Tanzania has had a 35 per cent market share in both the retail and service stations and about 70 per cent in aviation. In Zanzibar it has been controlling the aviation fuel market by about 100 per cent....
Kiongozi Halisi:
Huu uamuzi umejaa "utata"!
Unaweza "kusitisha leseni" halafu ukaruhusu kuendelea "kuuza mafuta ya ndege" na "..kwa vituo vya rejareja vyenye nembo ya BP"?
Kwa kifupi BP atakua anauza/anahifadhi/anahamisha kwa Mshirika wake tuseme Engen,d) Pia BP (T) Ltd ataruhusiwa kuuza mafuta yake yote ya petroli, dizeli na taa yaliyopo kwenye maghala yake kwa wafanyabiashara wengine wa jumla kama wanataka kwa usimamizi wa EWURA ili kuzuia kutoharibika kwa mafuta hayo katika kipindi hicho cha miezi mitatu ambapo hataruhusiwa kufanya biashara ya mafuta ya jumla.
e) Hata hivyo, vituo vyote vya rejareja (Petrol Stations) vya vyenye nembo ya BP vitaruhusiwa kuuza mafuta kwa kununua mafuta kwa wafanyabiashara wengine wa jumla na si kwa BP.
.
HATUA ZINAZOCHUKULIWA
Baada ya kuchambua kwa undani kuhusu suala hili, Bodi ya Wakurugenzi imekutana leo na kuamua yafuatayo:
a) Kuziandikia ONYO KALI kampuni za Oilcom (T) Ltd, Camel Oit (T) Ltd na Engen Petroleum (T) ltd kuwaonya kutorudia tabia walioionesha ambayo ni kinyume na Sheria za Tanzania na kuwaagiza wauze mafuta kwa watu wote bila ubaguzi. Amri hii itafuatiliwa kwa ujirani na ikibainika wamekiuka hatua kali zaidi zitachukuliwa dhidi yao mara moja
b) Kusitisha leseni ya biashara kwa BP (T) Ltd kwa MIEZI MITATU KUANZIA LEO kuuza mafuta ya Petroli, Dizeli na Taa.
c) BP (T) Ltd ataruhusiwa kuendelea kuuza mafuta ya ndege kutokana na ukweli kwamba EWURA haidhibiti bei za mafuta ya ndege ambao ndio msingi wa mgomo kwa wafanyabiashara ya mafuta.
d) Pia BP (T) Ltd ataruhusiwa kuuza mafuta yake yote ya petroli, dizeli na taa yaliyopo kwenye maghala yake kwa wafanyabiashara wengine wa jumla kama wanataka kwa usimamizi wa EWURA ili kuzuia kutoharibika kwa mafuta hayo katika kipindi hicho cha miezi mitatu ambapo hataruhusiwa kufanya biashara ya mafuta ya jumla.
e) Hata hivyo, vituo vyote vya rejareja (Petrol Stations) vya vyenye nembo ya BP vitaruhusiwa kuuza mafuta kwa kununua mafuta kwa wafanyabiashara wengine wa jumla na si kwa BP.
f) Pia Bodi ya Wakurugenzi imeeagiza Mtendaji Mkuu na Mwenyekiti wa BP (T) Ltd kufikishwa Mahakamani kwa kupitia kwa Mkurugenzi wa Mashitaka Jinai (DPP).
USIMAMIZI WA MAFUTA
a) Kuanzia sasa EWURA itaendelea kuangalia mfumo mzima wa mafuta yanayoingia bandarini.
b) Pia EWURA itaendelea kufuatilia bei zinazouzwa kwenye vituo kama zinafanana na zile zilizotangazwa.
HATUA ZINAZOCHUKULIWA
Baada ya kuchambua kwa undani kuhusu suala hili, Bodi ya Wakurugenzi imekutana leo na kuamua yafuatayo:
a) Kuziandikia ONYO KALI kampuni za Oilcom (T) Ltd, Camel Oit (T) Ltd na Engen Petroleum (T) ltd kuwaonya kutorudia tabia walioionesha ambayo ni kinyume na Sheria za Tanzania na kuwaagiza wauze mafuta kwa watu wote bila ubaguzi. Amri hii itafuatiliwa kwa ujirani na ikibainika wamekiuka hatua kali zaidi zitachukuliwa dhidi yao mara moja
b) Kusitisha leseni ya biashara kwa BP (T) Ltd kwa MIEZI MITATU KUANZIA LEO kuuza mafuta ya Petroli, Dizeli na Taa.
c) BP (T) Ltd ataruhusiwa kuendelea kuuza mafuta ya ndege kutokana na ukweli kwamba EWURA haidhibiti bei za mafuta ya ndege ambao ndio msingi wa mgomo kwa wafanyabiashara ya mafuta.
d) Pia BP (T) Ltd ataruhusiwa kuuza mafuta yake yote ya petroli, dizeli na taa yaliyopo kwenye maghala yake kwa wafanyabiashara wengine wa jumla kama wanataka kwa usimamizi wa EWURA ili kuzuia kutoharibika kwa mafuta hayo katika kipindi hicho cha miezi mitatu ambapo hataruhusiwa kufanya biashara ya mafuta ya jumla.
e) Hata hivyo, vituo vyote vya rejareja (Petrol Stations) vya vyenye nembo ya BP vitaruhusiwa kuuza mafuta kwa kununua mafuta kwa wafanyabiashara wengine wa jumla na si kwa BP.
f) Pia Bodi ya Wakurugenzi imeeagiza Mtendaji Mkuu na Mwenyekiti wa BP (T) Ltd kufikishwa Mahakamani kwa kupitia kwa Mkurugenzi wa Mashitaka Jinai (DPP).
USIMAMIZI WA MAFUTA
a) Kuanzia sasa EWURA itaendelea kuangalia mfumo mzima wa mafuta yanayoingia bandarini.
b) Pia EWURA itaendelea kufuatilia bei zinazouzwa kwenye vituo kama zinafanana na zile zilizotangazwa.
1. Leseni ya bp imefungwa kwa muda, imesitishwa. Lakini, ikumbukwe kwamba kwa kuwa ewura anabanwa kisheria pia kuhakikisha service providers wanakuwa financially viable, ndiyo maana wameruhusu hii stock iliyopo iweze kuuzwa (maana mafuta yakikaa miezi mitatu yanaweza kubadilika ubora wake, kwa mujibu wa ninachokisikia kwa wataalamu) na ikumbukwe kwamba 2. Mafuta yaliyopo bp takwimu zake anazo regulator, na ndiyo maana atakapotaka kuuza itabidi awa consult ewura.
2. Jet a1 bei yake hairatibiwi na ewura, kwa mujibu wa sheria, na ndiyo maana hawa jamaa hawajihushsi nayo.
3. Si kweli kwamba kila kituo chenye nembo ya bp kinamilikiwa na bp, wakuu, (mfano mwanamboka, na bp sinza) na ndiyo maana imewekwa wazi vile vituo vinaweza kuuza tu mafuta hayo ila si kununua toka bp.
4. Adhabu hii ina maana bp akiuza stock yake iliyopo sasa, hatafanya biashara mitaani kwa miezi mitatu, na tusijidanganye kuwa stock yake ilikuwa ya kutosha biashara ya miezi mitatu.
5. The way forward ni bp kukata rufaa fair competition tribunal, baraza la ushindani wa haki, ambako kesi nzima inaweza kuangalia upya.
6. Kwa kuwa bp walishiriki kwenye kile kinachoonekana cartel na makampuni mengine, huko yawezekana wakakutana na kesi mpya dhidi yao ambayo ewura tayari imeshaforward malalamiko.
Hakuna haja ya kushabikia bila kujaribu kutafsiri haya...tumieni website ya ewura kwa maelezo zaidi ya mechanism ya maamuzi.
mkuu ila kumbuka kwamba bp wako kwenye mpango wa kuondoka kabisa tanzania na ndo starategies yao hiyo. Bp wana miaka mingi kuliko kampuni yoyote ile hapa tanzania na hawawezi hata siku moja kuigomea serikali.
Tatizo wa tz ujuha unatusumbua sana tunaaminshwa kwamba bp ndo wabaya kumbe sivyo