Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Katika hali ambayo haikutegemewa compuni ya BP Tanzania imeaanza kuuza
mafuta yake katika vituo vyake. Leo tarehe 22.08.2011 kituo chake kilicho karibu na Bank M
wameanza kuuza mafuta. Kama unapita pale sasa hivi kuna magari mengi ya kibarozi na serikali na
raia wa kawaida wanajaza mafuta,
Jana 21.07.2011 kituo cha mwenge walifungua mpaka sasa wanauzi mafuta kwa kwenda mbele, kabla
hawajauzi jana niliona fundi anapanda juu kutoa nembo ya "BP" ili wasema walikuwa wanatumia nembo nyingine
Hivi kwanini serikali hii wanajizalilisha??
kwani hii serikali inakuwa Legelege???
mafuta yake katika vituo vyake. Leo tarehe 22.08.2011 kituo chake kilicho karibu na Bank M
wameanza kuuza mafuta. Kama unapita pale sasa hivi kuna magari mengi ya kibarozi na serikali na
raia wa kawaida wanajaza mafuta,
Jana 21.07.2011 kituo cha mwenge walifungua mpaka sasa wanauzi mafuta kwa kwenda mbele, kabla
hawajauzi jana niliona fundi anapanda juu kutoa nembo ya "BP" ili wasema walikuwa wanatumia nembo nyingine
Hivi kwanini serikali hii wanajizalilisha??
kwani hii serikali inakuwa Legelege???