Ndio tatizo la kuwa na wamiliki wa timu (Wamarekani) ambao hawajui chochote kuhusu Football walichokiweka wao mbele ni kumaximize faida yao bila kujali matokeo ya timu uwanjani...Yaani zaidi ya nusu ya 1st eleven wa GUNNERS wameuzwa katika kipindi cha miaka mitatu au minne!!! Kolo, Adebayo, Nasri, Galla, na sasa VP na Walcott
Ndio tatizo la kuwa na wamiliki wa timu (Wamarekani) ambao hawajui chochote kuhusu Football walichokiweka wao mbele ni kumaximize faida yao bila kujali matokeo ya timu uwanjani...Yaani zaidi ya nusu ya 1st eleven wa GUNNERS wameuzwa katika kipindi cha miaka mitatu au minne!!! Kolo, Adebayo, Nasri, Galla, na sasa VP na Walcott
BAK unataka kuniambia hizi habari ni za kweli?!
Aisee habari hizi zimeandikwa na BBC pia (Arsenal finally admit they will sell forward Robin van Persie, 28, for £30m - and Gunners winger Theo Walcott, 23, could follow him out of the door) katika ile page maarufu wakati huu "Transfer Gossip" lakini wote walioondoka GUNNERS habari zilianzia katika page hiyo kabla ya kuthibitishwa rasmi na AW.
walcot ana mahaba na vitanda vya hospitali... you dont need himNatamani sana Walcot aje
Liverpool Football Club!