Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
haya jamani
Mpambano ushaanza?
haya jamani
Soma comment hapo juu nimeandika unaweza kuicheki kwa kwenda Michezo - Teknohama Bongo alafu chagua Others utaona na kuna michezo wa boing hasa huu . Then changua link yeyotekuna live streaming kwenye mtandao?
Soma comment hapo juu nimeandika unaweza kuicheki kwa kwenda Michezo - Teknohama Bongo alafu chagua Others utaona na kuna michezo wa boing hasa huu . Then changua link yeyote
Mhh chisora damu .. thisis where boxing get bad . Round ya tisa sasa . Inaonean the only way ya huyu mzimbabwe wa UK kushindw ani kwa KO. kwa point anaachwa kila round.
Mhh chisora damu .. thisis where boxing get bad . Round ya tisa sasa . Inaonean the only way ya huyu mzimbabwe wa UK kushindw ani kwa KO. kwa point anaachwa kila round.
Hiyo height yao inawasaidia sana . Wanakuwa out of reach. wapinzani inabid wafanye kazi kubwa sana na wana risk kujiexpose kuwafikia kwa ngumi iliyoshiba. Kazi hiyo alikuwa anaweza kifaru Tyson.Chisora anasubiri ampige jamaa ngumu moja immalize ila hapati hiyo nafasi ingawa anapambana sana.. Hawa Klitchkos sio masikhara. Jamaa ana miaka 40 lakini bado yupo imara...
Ohh Imebaki round moja Last round. 12
Naye kaonyesha uhai mkubwa sanaHii game Klitchko ameshinda fair and square.. Jamaa akajipange upya.. Asije akajaribu kuomba game na Vladmir mdogo wake Vitali, atachapwa mno...