Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,520
Kuna mazungumzo yanafanyika kwamba David Haye apigane na mmoja wa hao majamaa.
Yupo yeye Klitschko halafu kuna Wladimir na Vitali. Pambano hilo linatarajiwa kufanyika mwakani pale Wembley na watu 90,000 wataleta 20 million.
Lakini kabla ya hapo itaabidi alinde mkanda wake kwa kupigana na John Ruiz hiohio mwakani inazungumziwa kwenye ukumbi wa 02 Arena uliopo mashariki mwa London.
Ila hawawezi kupigana kabla ya mwezi May kwani bado David atakuwa akiugulia mkono wake wa kushoto ambao aliumia kwenye mpambano wa jana.
Wladimir, anashikilia mikanda miwili ya IBF na WBO ambayo ni sawa na ubingwa wa uzito wa juu.
Vitali, ana ubingwa wa WBO na ndie anaehofiwa kwa sasa na amesema yupo tayari kukabiliana na David Haye.
The heavyweight division sucks right now. I miss the late 80s to the mid 90s where the division was stacked up with the talents of Lenox Lewis, Riddick Bowe, Evander Holyfield, and Mike Tyson.
Who can forget the Bowe-Holyfield trilogy? Those were the days..