Ujue Jukwaa hili kitambo lilikuwa linanoga sana,so nasoma soma za zamani!!
Nikiona wachawi nawachana,Ujue tupo katika mpango wa kuwafuta wachawi kwenye hili Jukwaa
Alaaah kumbe,!!! Kweli bwana mtu unauliza Fa kama ni mwanaume huu ni uchawi dhahiri.