Jaluo_Nyeupe
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 2,676
- 1,911
bila shaka huu mpambano utakuwa wa kushika mic lakini kama ni wa ngumi, naomba waandae kabisa gari la wagonjwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani anayepanda nae ana mwili?wote ni kilo 50Jamani mwana FA huo ni mwili wa kupanda ulingoni huo? Dunia imekwisha.
Anae uliza swali huwa anajua zaidi kuliko anae ulizwa,so kichomi tupe jibu cos maswali mengine ni yakumtafuta nyoka miguuHivi Mwana FA nae ni mwanaume?
Umeona wapi mgonjwa anapigana..?! Nijuwacho wanakuwaga wakali sana na kutishia kupiga kwa sanaNasikia ana matatizo ya kupumua,kifua.
Si gari la wagonjwa... Waandae kaburi.. Gari la wagonjwa linahitajika kabla ya mpambanobila shaka huu mpambano utakuwa wa kushika mic lakini kama ni wa ngumi, naomba waandae kabisa gari la wagonjwa.
Dah... Inawezekana anataka kumfundisha samaki kuogelea...Anae uliza swali huwa anajua zaidi kuliko anae ulizwa,so kichomi tupe jibu cos maswali mengine ni yakumtafuta nyoka miguu
Si gari la wagonjwa... Waandae kaburi.. Gari la wagonjwa linahitajika kabla ya mpambano
Hivi Mwana FA nae ni mwanaume?
Nasikia ana matatizo ya kupumua,kifua.
kwani anayepanda nae ana mwili?wote ni kilo 50
LLW-Lite Little Weight
hivi mwana fa anaumwaga nini??
Nasikia tu anaumwaaaaaaaaa
ila sijui anaumwaga nini
nilipata sikia japo sina uhakika ana cirle cell au kiswahili unaitwa anaemia,
Hivi Mwana FA nae ni mwanaume?
Rapper mahili na ex-member wa kundi la East Coast Team Hamis mwinjuma a.k.a Mwana Fa sasa amegeukia upande wa pili wa burudani yan Masumbwi(boxing).
Star huyo wa 'Yalaiti' amepanga kuzichapa na Khalid Chokoraa siku ya jumapili tar 18 pale Mzalendo pub,pambano hilo limeibuka baada ya mwana fa kuhama gym aliyokuwa akifanyia mazoezi na khalid chokoraa ambayo inamilikiwa na Kaseba,pambano hilo litakuwa linaamua kuwa gym ipi ni kali kati ya kaseba na gym mpya ya Fa na kuondoa ubishi wa siku nyingi kati ya mshika suruali (Fa) na mkata viuno (Chokoraa).
Pia kutakuwa na pambano la awali kati ya Hussein Machozi na meneja wa mapacha wa tatu (Dakota) ambao wana bifu la kiukweli baada ya Husein machozi kuzingua kupga show nchini Kenya ambayo iliandaliwa na Dakota,na kuna taarifa zinasema kuwa walishawah kuznguana kchini chini na kukunjana kitaani yoo...
Hivi huo uchawi ulirithi kwa Nani?
Tokomeza uchawi,albino waishi.
@DC umefukunyua uzi.