Viper
JF-Expert Member
- Dec 21, 2007
- 3,667
- 1,400
<br />
<br />
MV Serengeti, ni moja ya meli zinazoenda huko Pemba na lenyewe limechoka, ilikuwa ya Bakheresa akaiuza kwa 400 millions tu,
inasemekana kwamba siku ambayo MV Spice Islander inazama hii MV Serengeti iliiona na zilipishana lakini ilishindwa kusaidia lolote maana ilikuwa imejaza kuliko ile iliyozama.
Yaani hata kama ingeongeza mtu mmoja tu na yenyewe ingezama.
dah.. kumbeee.. mimi nilikuwa najiuliza kwanini.. ile meli iliwaacha wenzao wazame.. kumbe nayo ilikuwa Full ...