Elfu Hamsini niiweke mapambo???!!!!???
NI mlo wa siku ngapi kwa mTZ wa kawaida??
NI bia ngapi au crate ngapi za serengeti kwani??
NI mifuko mingapi ya cement,nimalizie kibanda changu??
ETI niweke mapambo, viongozi wetu hawa kweli wametuchoka!!!!
Ukiongea hivi unaharibu mtiririko wa thread uliyoleta!Kama kawaida yao wazee wa maandamano watalishikia bango hili waandamane!!
Benki Kuu yatoa sarafu ya 50,000/-Benki kuu ya Tanzania BOT imezindua sarafu mpya ya Tsh 50,000/= iliyotengenezwa kwa madini ya fedha ambayo itauzwa katika mabenki kwa ajili ya shamrashamra za miaka 50 ya uhuru je wachumi mliobobea mnalionaje hili na hali ya uchumi wetu ulivyo kwa sasa je ni nani atakubali yaani ununue sarafu ya kufungia chumbani khaaaa!!!!! source tbc jambo leo saa 1 asbh.
Hizi ni kwa ma "collectors" au "hobby" hii huitwa "numismatic" na si kwa kila mtu na ndo maana hizo huwa "limited" na sarafu kama hizi huwa haziingizwi kwenye mzunguko wa fedha.
Tatizo laki ni ilmu na ilmu haipatikani kwenye kuta nne tu.
Hata wenye fedha wengi huwa hawazinunui hizi kwa sababu si "hobby" yao, na si sarafu tu hutolewa stempu, tshirts, khanga, vitenge, "key chains" na vitu vingi vinavyoweza kukumbusha baadae "occasion" hiyo. Na hii si mara ya kwanza kwa Tanzania kutoa sarafu za "commemoration" (kumbukumbu). Funguka kidogo.
BoT inaleta hobby katika kipindi hiki!!????
Hobby ya watu 3000 ni kitu cha kufanywa na BoT kabisa???!!!!
Mapinduzi ya nchi yatumike kutekeleza hobby ya watu 3000????!!!
"Ama kweli kama umekosa mkate kula keki"
Tatizo lenu kubwa ni ujinga mliojazwa shule mlizosoma, watu wanaenda shule kupata ilmu, wenzangu naona mlikwenda kusomea ujinga.
Wewe si ndio umesema kuwa nazo ni hobby sasa BoT watengeneze vitu vya hobby za watu wachache wakati tuna shida lukuki za kiuchumi!!!!!!!!
Hii ndio ilmu sio??!!!!!!
"kweli kujua kwingi mbele giza"