FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,872
- 109,170
Benki kuu ya Tanzania BOT imezindua sarafu mpya ya Tsh 50,000/= iliyotengenezwa kwa madini ya fedha ambayo itauzwa katika mabenki kwa ajili ya shamrashamra za miaka 50 ya uhuru je wachumi mliobobea mnalionaje hili na hali ya uchumi wetu ulivyo kwa sasa je ni nani atakubali yaani ununue sarafu ya kufungia chumbani khaaaa!!!!! source tbc jambo leo saa 1 asbh.
Kama ni sarafu ya fedha basi hii itakuwa na thamani tajwa, mara nyingi sarafu kama hizi za "commemoration" huwa ni "collectors items" na uzoefu unaonesha kuwa kila miaka ikienda zinazidi thamani na si kupunguwa. Najitayarisha kununuwa.