Ha kwani ww ni mtoto wa kigogo?
nhgoja ngoja yaumiza matumbo.Subira yavuta heri!
nhgoja ngoja yaumiza matumbo.
mkuu mbona watu wapo training siku nyiiiingi,kwani ulipekea kimemo????
ha kwani ww ni mtoto wa kigogo?
mhmmmmmmmmmmmmm!
Wa tz, kauliza swali mnamuuliza swali mjibuni.
​sikukatishi tamaa ila imekula kwakono kimemo.qualification ninazo