mtu aliwekewa sumu, kabla ya kuondoka kwenda marekani kwenye matibabu akaitisha press conference kwanza. Duu, hiyo sumu au mkojo wa punda.
Ukweli ni kwamba hakuna mtu yoyote hapa anayejua kama Balali ni mgonjwa au la, yuko hospital au nyumbani. Kila kitu hapa ni kubuni tu. Ngoja tuone hii extradition ya wamarekani. Ukweli unaweza kujulikana.
Ukweli ni kwamba hakuna mtu yoyote hapa anayejua kama Balali ni mgonjwa au la, yuko hospital au nyumbani. Kila kitu hapa ni kubuni tu. Ngoja tuone hii extradition ya wamarekani. Ukweli unaweza kujulikana.