FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 716
Taratiiiiibu jamani. wengine tunawaheshimu sana.
Msipige chini ya belt!
Msipige chini ya belt!
Mr Mikael
Hilo swala la Watanzania(waafrika) wakiwa na watu weupe hasa ulaya na Marekani hua wanafanya vizuri mnoo mie bado najiuliza hua nini haswa ? lakini huyo huyo ukimchanganya nyumbani ndiyo mborongaji mzuri
Hii si ki elimu tu hata ukianglia mpira wa mguu waafrika wanapochezea timu zao za ulaya wakichanganyikana na wazungu hua wanacheza vizuri mnoo lakini hao hao wakija kwenye timu yao ya taifa unaona kiwango kipo chini mnoooooo.
Mie hua wakati mwingine nafikiri wenda waafrika hua tunakitu kidogo tuna kimiss tunapokua wenyewe na ikitokea ukachanganyikana na mzugu hiyo weekness wenda mzungu hua ana i overcome na tunafanya vizuri.
...hata mjaribu spin kiasi gani huyu ni fisadi tuu na anastahili kushtakiwa maana yeye ndio alikuwa mkuu wa BOT ambapo wizi ulitokea,hana huruma kabisa huyu kuibia au kuachia wizi mkubwa kiasi kile kwa nchi maskini kama yetu,na wala hatuhitaji story yake kuwataja mafisadi wenzake maana tukimpeleka mahakamani atawataja tuu na nina uhakika report original inajua ni kina nani wezi,hatuwezi kumaliza kesi kwa kumtegemea Balali apone na wala sio factor kwenye hii prosecution kama kweli itakuja maana naye ni mwizi tuu,kama kapewa sumu pole lakini isiwe tabu
Ballali atabebeshwa kila balaa ... kuanzia kesho tutasikia mengi
Mtanzania,
Kuna sababu halali kwa Balali kukaa kimya. Kufikia wiki ya kwanza ya Desemba alikuwa hawezi kuzungumza. Hata wakati RO amekwenda kumwona alikuwa bado ni mtu wa kugeuzwa kitandani. It is just a few weeks now that he's talking and the first priority is to get his health back. That is why in my previous threads nimesema tuendelee kumwombea kwa Mwenyezi Mungu. He needs the prayers and he needs to get his energy back. Baada ya hapo, who knows?
Quote: Halisi
Ballali atabebeshwa kila balaa ... kuanzia kesho tutasikia mengi
Keil
kesho kuna nini mkuu?
Quote: Jasusi
Mtanzania,
Kuna sababu halali kwa Balali kukaa kimya. Kufikia wiki ya kwanza ya Desemba alikuwa hawezi kuzungumza. Hata wakati RO amekwenda kumwona alikuwa bado ni mtu wa kugeuzwa kitandani. It is just a few weeks now that he's talking and the first priority is to get his health back. That is why in my previous threads nimesema tuendelee kumwombea kwa Mwenyezi Mungu. He needs the prayers and he needs to get his energy back. Baada ya hapo, who knows?
Huo ni udikteta sasa! Sina haja ya kuwa na data zaidi ya nilizosema,na sijakataa kitu.Nani hapa alikuja na death certificate inyoonyesha cause of death ku proove their point? Hizi ndio data,kama za yule mrusi wa Polonium.
Hata mimi naweza kuzua tu kuwa mjomba wangu alilogwa na shemeji yake,sasa hio utiita ni data kwa sababu aliye kufa ni mjomba wangu na mimi ndio niliyosema?
Huwezi kumwambia mtu akae pembeni simply because u do not agree with what he says,what i sed is my opinion,si sikutegemea kuwa kila mtu atakubalina na mimi,na ndio maana tunakuwa na mijadala,na wengi tumejifunza mambo mengi sana humu.Mimi nimetoa mifano ya watu wote 'waliouawa' sikusema mtu yeyote ni muongo.Kama hii ni JF na wewe una data,basi lete death certificate zinazoonyesha sababu za vifo hivyo,hizo ndio dataz! Zilizobaki ni speculations tu ambazo 90% ya watu humu wanatoa,and theres nothing wrong with that.
Lakini hii biashara ya kupigana mikwara eti mtu akae pembeni kama hana dataz ni mambo ya kizamani,na pia ita deter watu ambao maybe they have something to say,lakini wanajua kuna watu kama wewe watawaambia wakae pembeni.
This is a free society,if what i say is crap to u then treat it like so,lakini i'm sure kuna mwingine ataona sio crap..or rather dont read whatever that has been posted by Zanaki,lakini ujue pia kuwa i have the same rights in here as u do
....mimi na wewe ni members tu,none of us owns this forum.
__________________Misumari ya kumgongelea Balali kwenye msalaba wa Ufisadi inazidi kuchongwa.. siyo tu atawambwa kama wale vyura wa somo la biolojia kwenye karatasi, Balali atakuwa ndiyo shetani mwenye mapembe wa ufisadi nchini.. Wakati wanamgongelea misumari hiyo mashetani yenyewe yatakuwa yamekaa pembeni na kushangilia!