Wana Jf kama uliomba post za BOT Bank officer jamaa wametoa notification kwenye email zenu embu cheki
November 2 kitahappen
sina kkaUna Ndugu?
Sio ustaarabu kubandika majina hadharani hivyo wengine hapo wana kazi hawachelewi kufukuzwa wakijua unatafuta kwengine.
Duh Wa +255 watu wa ajabu sana kwaiyo kueka majina kama ivo sio vizur sio?na wengine wanasema tuekee majina tuyaone au mbona siku zote yanaweka usemi au kwakuwa wewe umeitwa na una kazi nyingine??we kama upendi wenzio wanataka kuyajua mbna simple option acha usidownload kaa nayo mbali.........................watu dairly hapa wanaeka majina ila hata usemi ila aya ya BOT unaona sio ustaarabu kwa kuwa umeitwa wewe na una kaziSio ustaarabu kubandika majina hadharani hivyo wengine hapo wana kazi hawachelewi kufukuzwa wakijua unatafuta kwengine.
Duh Wa +255 watu wa ajabu sana kwaiyo kueka majina kama ivo sio vizur sio?na wengine wanasema tuekee majina tuyaone au mbona siku zote yanaweka usemi au kwakuwa wewe umeitwa na una kazi nyingine??we kama upendi wenzio wanataka kuyajua mbna simple option acha usidownload kaa nayo mbali.........................watu dairly hapa wanaeka majina ila hata usemi ila aya ya BOT unaona sio ustaarabu kwa kuwa umeitwa wewe na una kazi
kwani kutafuta kaz wakati una kazi nyingine ni zambi?
Yes kama Nehemia Rugo yuko CRDB-Moshi
Yes kama Nehemia Rugo yuko CRDB-Moshi
Sisi tufanyaje sasa.? Kwani mtu mwenye kazi haruhusiwi kuomba kazi nyingine yenye maslahi zaidi.? ACHA UNDEZI