Pole sanaMzazi mwenzangu ameamua kupiga cm na kumtukana kila mwanamke niliye msave katika cm yangu.
Matokeo kanitukania boss wangu .
Naomba ushauri nimfanyeje huyu na hapo cjamuoa bado..!
hahahaha na wapigaji tutawajua humuhumu..umpige umemzaa weye huyo!Piga ili siku nyingine asirudie tena kama amekuhisi una vimada basi afanye uchunguzi na siyo kurupuka...kama kama kupiga huwezi mpe rikizo ya miezi anagala mitatu akakae kwao afunzwe...
Khaaaaa!We Shosti na huyo mtoto/watoto unaweza kuwaambia wamezaliwa na kichaa?!sio kila anayetembea barabarani ana akili timamu jamani...weye umezaa na kichaa
wivu baba
Hujasema ulimkwaza nn hadi afikie uamuzi huo. Naamini yeye sio chizi iko sababu. Pengine umemwonyesha weye ulivyo kicheche uzalendo ukamshinda. kama vipi, mpige chini wengine watadaka!
sasa kuna dalili ya uzima hapo kweli,utatukanaje watu hovyo kama umzima....au uzima unapimwa kwa kipimo gani jamani nisaidieni hapo!Khaaaaa!We Shosti na huyo mtoto/watoto unaweza kuwaambia wamezaliwa na kichaa?!
Hujasema ulimkwaza nn hadi afikie uamuzi huo. Naamini yeye sio chizi iko sababu. Pengine umemwonyesha weye ulivyo kicheche uzalendo ukamshinda. kama vipi, mpige chini wengine watadaka!
Hata kama...sio haki kuwatupia dharau wanaomhusu (watoto/mume/wazazi)....sasa kuna dalili ya uzima hapo kweli,utatukanaje watu hovyo kama umzima....au uzima unapimwa kwa kipimo gani jamani nisaidieni hapo!