fundiaminy
JF-Expert Member
- Jun 4, 2009
- 355
- 51
Boss aliingia afisini mwake asubuhi huku akiwa amesahau kufunga zipu ya suruali yake na kukumbana na sekretari aliemuuliza boss..je,ulipotoka nyumbani umekumbuka kufunga geti ya mahala unapoegesha magari yako?
Boss akafkiria kwa mda na hakumjibu.
Baadae Boss akaenda haja ndogo na loooh! Akapata kumbe zipu yake iko wazi na ndipo akakumbuka maneno ya sekretari.
Hapo akarudi haraka na kumuuliza sekretari, ulipoona geti ya mahala ninapoegesha magari yangu pako wazi je,umeona BMW imeegeshwa hapo?
Sekretari nae akamjibu,la Boss ila nimeona BAJAAJ imeegeshwa ikiwa na tairi mbili zilizoisha pumziiii.
Boss akafkiria kwa mda na hakumjibu.
Baadae Boss akaenda haja ndogo na loooh! Akapata kumbe zipu yake iko wazi na ndipo akakumbuka maneno ya sekretari.
Hapo akarudi haraka na kumuuliza sekretari, ulipoona geti ya mahala ninapoegesha magari yangu pako wazi je,umeona BMW imeegeshwa hapo?
Sekretari nae akamjibu,la Boss ila nimeona BAJAAJ imeegeshwa ikiwa na tairi mbili zilizoisha pumziiii.