Bosi wangu wa kike ananitaka, nifanyeje?

Tatizo ukishalamba mara moja ndo atakuwa anakugasi daily!
Mkaushie tuu kama anakutishia kazi basi kamua kimtindo ila usilete mbwembwe mchezoni ili asije nogewa
 
Hii ni hatari tena Inatisha Japo ni mambo ya MJINI SIKU hIZI aNGALIA USJE TUMBUKIA KWENYE SHIMO LENYE KINA KIREFU hALAFU WADAU WATAANZA KUSEMA si tulikuwa tuna muangalia tu

KAMA NI MKE WA MTU ACHA KABISA

au UKIWA UMEOA hISHIMU NDOA YAKO
:hippie::doh:
 
wana jf, niko katika wakati mgumu. bosi wangu ananitaka kimapenzi, nimejaribu kumpotezea naona nakwama. sasa ameandaa safari ya kikazi mimi na yeye tu, halafu hataki twende na gari, anataka tukwee pipa ili dereva asiende. mimi naogopa maana ni hatari katika kibarua changu, nifanyeje jamani?

don't ignore that gold opportunity, kamua baba!raha na furaha yake utaijua hapo kazini baadae!mungu akupe nini tena!
 
how old are you??????????

ina maana toka uzaliwe hujawahi kuzimikiwa au vipi?

sasa mbona unaonekana hauko mature enough?????????????
 
mkuu!! kwanza hilo jina lako "gogotamu" sikutegemea uulize swali kama hili labda kama ni under 18! ila kama vipi we mega kisela yaani huku unaplay safe kimtindo, usikabe penalt kiviilee yaan
 
naami hata wewe unamtamani au unampenda (bilashaka ni wapenzi tayari)ni hicho kipato chako kinakufunga kwani naela kila ukitaka kumnunula zawadi unafikilia zawadi gani itamfaa.mpaka hapo mmepanga safari ni bora muyamalize
 
unapokuwa njiapanda unatafuta mawazo ya wenzio. nashukuru nimepata kuna watu wako very serious na issues. maana leo kwangu kesho kwako
 
We kamanda mbona mwoga, kwani hujua matumizi ya dhana(Condom)? weka kwenye begi kama boksi nzima kabisa afu wakati unamkanyaga usilewe sana siku hiyo, mkun'gute haswa aridhike, usiwe na mawazo mabaya sabu na yeye ni binadamu ana hisia mpe penzi ila ukishamkanyaga unajua tena kina mama wanakuwa kama kondoo hajui kuficha penzi afu atakuwa na wivu atakubania usicheke na mademu, hapo sasa we ndo umwongoze kuwa mama tuliza mzuka tukiwa kazini tulia kama vile hatujuani afu mkiwa ki vyenu we kula mzigo kistaarabu ndo na pesa akupe. Tahadhari: mume wake asijue na usimweleze rafiki yako yeyote inatosha umesema hapa naona wengine wanakuomba namba za huyo mama usiwape itakuathiri kikazi sabu watamsumbua watamtukana, mwishowe utaona kazi ngumu. kuwa makini kula mzigo taratibu ila usimdharau mkeo hata siku moja sabu ndo mama watoto na huyo bosi usije ukakosea ukampa mimba, tume kondom hadi mwisho.
 
Back
Top Bottom