KICHAKA
Member
- Jun 17, 2009
- 58
- 9
Unajua nimeshangaa sana kusikia watu wanalalamikia picha ya Al Adaiwi tu, lakini bosi huyo ameingia juzi na kukutana na wafanyakazi wa Airtel kisha kwa JK na hawakumpiga picha. Hivi sisi watanzania tulikuwa na shida gani na Al adawi na waandishi mbona huyu bosi hamkumpiga picha?