HAZOLE
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,551
- 708
Nimekuwa nikicheka sana ninaposikia matangazo ya ulevi noma. Wao wanaonyesha madhara ya pombe katika kumuumbua mtu lakini naomba niongezee kidogo. Katika somasoma yangu ya udaktari, nimeona katika magonjwa yote makubwa makubwa mfano; cancer, figo, ini, heart attack, cardiac arrest, matatizo ya ubongo etc, mbali na sababu nyingine lakini alcohol + cigarette nazo zinachangia sana katika majanga haya. Mimi nilikuwa mnywaji na nilishauriwa sana but kwasasa nimeacha duh. Jamani tusinywe ili tuishi vema na ikiwezekana miaka mingi.
Chonde chonde pombe.....nooooooma
Chonde chonde pombe.....nooooooma