MwafrikaHalisi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 1,741
- 510
Mh. Mbunge wa Kigoma mjini Peter Serukamba kwa kupitia account yake ya twitter (let's hope it is not hacked)anaendelea kutetea wabunge kuongezewa posho.
Amediriki kwenda mbali kidogo kwa kusema kama mnaona tatizo la wafanyakazi wa umma kulipwa kidogo basi ubunge ufutwe kabisa ili wafanyakazi wa umma wapate mishahara minono.
Nanukuu 'tweets' zake kama ifuatavyo ( @serukamba ) kupitia twitter.com :
serukamba
@ RT DM FAV TR
Msiwe na monopoly ya akili
jamani na kudhani wengine
hawafikili you are wrong dam
wrong!
12:02 via Twitter for
BlackBerry® retweeted once
serukamba
@ RT DM FAV TR
Mshahara wangu ni 2560000
kabla ya kodi! Upotoshaji
tuache!
11:51 via Twitter for
BlackBerry®
serukamba
@ RT DM FAV TR
Tujifunze na tuvumilie
wanaofikilia tofauti tujadili
hoja matusi sio uungwana!
11:48 via Twitter for
BlackBerry®
serukamba
@ RT DM FAV TR
Anayesema alipoteza kura
yake ! Kwanza naamini
hakunichagua ! Na hatuwezi
watu wote kuna msimamo
sawa!
11:47 via Twitter for
BlackBerry®
serukamba
@ RT DM FAV TR
Let us think msikwepe hoja
yangu! Mnaonaje tukifuta
bunge! Ili tupate pesa nyingi
tulipe watumishi vizuri
11:45 via Twitter for
BlackBerry®
serukamba
@ RT DM FAV TR
This is the radica thinking
tujadili ! Tufute bunge ili
watumishi walipwe vizuri !
11:34 via Twitter for
BlackBerry® retweeted once
serukamba
@ RT DM FAV TR
Hakuna kuzira ! Kama nyie
mnaishi bila kuwa wabunge na
sisi tunaweza kuishi bila
ubunge! Tufute bunge kuondoa
maneno!
11:04 via Twitter for
BlackBerry® retweeted twice
serukamba
@ RT DM FAV TR
Hakuna panic we can live
without ubunge! Tufute tu!
Tumesoma tutafuta kazi
kwingine!
11:00 via Twitter for
BlackBerry® retweeted once
Amediriki kwenda mbali kidogo kwa kusema kama mnaona tatizo la wafanyakazi wa umma kulipwa kidogo basi ubunge ufutwe kabisa ili wafanyakazi wa umma wapate mishahara minono.
Nanukuu 'tweets' zake kama ifuatavyo ( @serukamba ) kupitia twitter.com :
serukamba
@ RT DM FAV TR
Msiwe na monopoly ya akili
jamani na kudhani wengine
hawafikili you are wrong dam
wrong!
12:02 via Twitter for
BlackBerry® retweeted once
serukamba
@ RT DM FAV TR
Mshahara wangu ni 2560000
kabla ya kodi! Upotoshaji
tuache!
11:51 via Twitter for
BlackBerry®
serukamba
@ RT DM FAV TR
Tujifunze na tuvumilie
wanaofikilia tofauti tujadili
hoja matusi sio uungwana!
11:48 via Twitter for
BlackBerry®
serukamba
@ RT DM FAV TR
Anayesema alipoteza kura
yake ! Kwanza naamini
hakunichagua ! Na hatuwezi
watu wote kuna msimamo
sawa!
11:47 via Twitter for
BlackBerry®
serukamba
@ RT DM FAV TR
Let us think msikwepe hoja
yangu! Mnaonaje tukifuta
bunge! Ili tupate pesa nyingi
tulipe watumishi vizuri
11:45 via Twitter for
BlackBerry®
serukamba
@ RT DM FAV TR
This is the radica thinking
tujadili ! Tufute bunge ili
watumishi walipwe vizuri !
11:34 via Twitter for
BlackBerry® retweeted once
serukamba
@ RT DM FAV TR
Hakuna kuzira ! Kama nyie
mnaishi bila kuwa wabunge na
sisi tunaweza kuishi bila
ubunge! Tufute bunge kuondoa
maneno!
11:04 via Twitter for
BlackBerry® retweeted twice
serukamba
@ RT DM FAV TR
Hakuna panic we can live
without ubunge! Tufute tu!
Tumesoma tutafuta kazi
kwingine!
11:00 via Twitter for
BlackBerry® retweeted once