Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa emma kapeleka pete ya uchumba ,mwenzake kapeleka ya ndoa ipi bora? dada wa watu kajizolea zote kwa mpigobebii kama halikuwa hampendi emma kwa nini alikubali pete yake ya uchuma?Huo ni wizi mtupuuuuuuuuu
Unataka kujiua kwa sababu ya pete yako ya gharama ? si umwambie akurudishie ? hutaki kujiua kwakuwa ulimpenda na huwezi ishi bila yeye ? nilielekeze hapo mtaani kwenu nikuletee madawa ya shamba yaliyo-expire baada ya nusu saa tu marehemu.Nimemvalisha mchumba wangu pete ya gharama last week nimemfumania na jana usiku ameolewa na huyo jamaa nilomkuta nae.Inauma sana nafikiria nijiue au niende mbaya ya tanzania.coz anajulikana mtaani,na familia yangu.
kuna mtoto wa mjomba alijaribu kujiua kwa sababu za kipuuzi mara 3,mara mbili kwa kumeza dawa nyingi na mara ya mwisho akafunga kamba kwenye feni ikakatika, sasa baada ya kusikia puuu! kitu kizito kimedondoka wazazi kukimbilia kwa mwanao wakakuta kaanguka chini nusu kamba shingoni na nusu imebaki kwenye feni.yani amepata wa kumuweka ndani akatae kisa lipete lako?
Kwani pete ya uchumba kitu gani yale si madini tu, pete ya uchumba halisi ni roho ya mtu na kama hakuwepo rohoni mwake basi hakuna pete ya uchumba wala asiende kuidai hiyo ni zawadi kampa, kujiua si suluhu na ni mambo ya kizamani afu pia jamaa anaonekana yeye ndo aliingilia uchumba wa watu mana mpaka mtu kaolewa wewe hujui...bebii kama halikuwa hampendi emma kwa nini alikubali pete yake ya uchuma?Huo ni wizi mtupuuuuuuuuu
Pole kaka mshukuru sana Mungu umemgundua mapema kuwa hakuwa muaminifu kwako fikiria ndio ungekuwa umeshafunga nae ndoa yakakukuta yaliokukuta.....
Shukuru Mungu kwa kila jambo..... Jipange umpya na maisha, kesha ukiomba Mungu akufungulie na akupe chaguo la moyo wako, kumbuka Mke mwema hutoka kwa Bwana
Nimemvalisha mchumba wangu pete ya gharama last week nimemfumania na jana usiku ameolewa na huyo jamaa nilomkuta nae.
Inauma sana nafikiria nijiue au niende mbaya ya tanzania.coz anajulikana mtaani,na familia yangu.