Mwendabure
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,138
- 1,040
Mwendabure kapita Bure hapa!
safi sana, unakunywa kinywaji gani kijana?nashindilia zaidi.hapo mwanzo baada ya mungu kumuumba adam, akampatia taratibu za kuishi katika bustani ya edeni. Lakini akaona ni vema ampatie msaidizi. Akampatia hawa. Kitambo tu, hawa akamdanganya mumewe adam ili wale tunda la mti wa katikati, ambalo mungu aliwakataza. Mungu akawalaani kama ifuatavyoadam: Ardhi imelaaniwa, utakula kwa jasho na miiba itakuchomahawa: Utazaa kwa uchungu, tamaa yako itakuwa juu ya mme wako naye atakutawala. hapo kwenye nyekundu, wataalamu wa biblia wanasema, mwenyezi mungu aliamuru mwanamke atawaliwe na mwanaume baada ya kuona kuwa hawezi kujitawala kwa ufanisi kwa sababu ameharibu kwenye tunda la mti wa katikatikwangu mimi mfumo dume mwanzo mwisho, ila simdharau wala kumwonea mwanamke.
<br />Hapo mnadanganyana... akili za kushikiwa/kuambiwa lazima uchanganye na za kwako ndio uamue ufanyeje. Mke akiwa binadamu lazima from time to time anakosea lakini kusema "Jamani tusiwasikilize na kutii amri za wanawake tutaangamia" naona ni kukosa ufahamu. Msikilize mkeo na kama ukiona sio point base mwambie au achana na hiyo amri/ushauri. Kama ukiopna ni point, songa mbele kwa manufaa ya familia.<br />
<br />
Binafsi naamini niliwekwa duniani kwa malengo maalum, none of which ni kutawaliwa na anyone!
Ngoja nitie UZITO zaidi:Nashindilia zaidi.
Hapo mwanzo baada ya Mungu kumuumba adam, akampatia taratibu za kuishi katika bustani ya Edeni. Lakini akaona ni vema ampatie msaidizi. Akampatia HAWA. Kitambo tu, hawa akamdanganya mumewe Adam ili wale tunda la mti wa katikati, ambalo Mungu aliwakataza. Mungu akawalaani kama ifuatavyo
ADAM: Ardhi imelaaniwa, utakula kwa jasho na miiba itakuchoma
HAWA: Utazaa kwa uchungu, tamaa yako itakuwa juu ya mme wako naye ATAKUTAWALA.
Hapo kwenye nyekundu, wataalamu wa biblia wanasema, mwenyezi Mungu aliamuru mwanamke atawaliwe na mwanaume baada ya kuona kuwa HAWEZI kujitawala kwa ufanisi kwa sababu ameharibu kwenye tunda la mti wa katikati
Kwangu mimi mfumo dume mwanzo mwisho, ila simdharau wala kumwonea mwanamke.
<br />safi sana, unakunywa kinywaji gani kijana?