mimi sishangai kwanza hiu mshikaki wa nguvu liotengenezwa hapo... ninachojui=uliza huyu jamaa kilichomfanya akawa na watoto wengi namna hiyo....halafu dizaini kazi yake ualimu (samahani jamani)
Sasa bange inahusiana nini hapa?Angekuwa mzungu ungesema ubunifu!!Huyu lazima anavuta bange siyo bure