jah people
Member
- Feb 17, 2012
- 5
- 0
Inavyoelekea wewe huzijui haki zako, yaani msomi mzima unadhubutu kusema ''acha watunyonye, wakijisikia watatupa hela zetu'' hizo ni fikra mgando, na kwa taarifa yako tupo kwenye hatua za mwisho za kuuanzisha mgomo wenyewe na wewe na waoga wenzako msipogoma kwa hiari yenu kwa maslahi mapana ya wanachuo wa nchi hii basi tutawasaidia kwa kuwachapa bakora mpaka mtakapounga mkono mpango wetu. Wenzetu UDSM na vyuo vingine wamejitaid sana kutetea maslahi yetu kwa kugoma hadi hela ya meals and accomodation ikaongezwa, safari hii ni zamu yetu wanaSAUT kupinga ucheleweshwaji wa mkopo. Uoga wetu ndio umasikini wetu. AMKAwee usitufanye c wajinga hapa, marafiki zetu wengi sana washafukuzwa kimya kimya afu unataka kugoma, acha watunyonye, wakijickia watatupa ela zetu