Dah, Mungu kasikia kilio changu kwa bumu kuingizwa leo! Asante Mungu sifa na utukufu ukufikie hukohuko uliko mbingun! Hela ya kulipa deni la nauli niliyokopa ishapatkana!
Ukamtolee Mungu sadaka sio salamu za maneno pekee haitoshi kuitwa Shukrani kwa Aliyekuneemesha! Mkumbuke Muumba wako siku za UJana wako na Kumtolea pia.
Dah, Mungu kasikia kilio changu kwa bumu kuingizwa leo! Asante Mungu sifa na utukufu ukufikie hukohuko uliko mbingun! Hela ya kulipa deni la nauli niliyokopa ishapatkana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.