Mkuu Mama,
Wewe ni mtetezi sana wa UKWELI, Je hapa imekuwaje?
kwani hapo nimetetea uongo mchungaji?
Mkuu Mama,
Wewe ni mtetezi sana wa UKWELI, Je hapa imekuwaje?
Solo Thang alishakwambia, kuna ma-repa na ma-rapper and then to top it off kuna malapa.
Now I know a range of srtists as diverse as Beenie Man, Jigga, Michael Jackson and Lil Wayne have engaged in some elaborate crotch grabbing.Apart from the unparalleled Fela Kuti, I do not recall an incident like this.
swali langu ni je waliokuwa kwenye ukumbi waliitikiaje kitu hicho, kama kuna soko la hicho anachofanya na kinamlipa kwanini asifanye kama msanii? Tumeyaona ya Timberlake na Janet, ya Madonna na Britney.. kwanini tunashangazwa na haya?
may be it tells more about the people enjoying such entertainment (if you could call it that) than the artist himself..