kuna jamaa mmoja niliwahi kumsikia alikuwa anaimba sauti unique and he was creative kusema kweli, lakini judge mmoja (master j)alimpotezea akamwambia kwa saili ile asingeweza kuuza bongo, master j anashani wote tunapenda bongo fleva kama yeye, unategemea nini hapo.
Kuna yule kijana alikuwa wa pili baada kuchakachuliwa na J4 alikwenda wapi?alifanya kazi muda mrefu sana na yale mashindano alikuwa anaimba nyimbo zake kuanzia mwanzo mpaka mwisho lakini alichaguliwa J4 sijui kwa ajili ya ile sura yake ilivyokuwa inachekesha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.