Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
- Thread starter
- #81
nyani ngabu??
sio nyani ngabu ni nyani abiziani watu wawili tofauti kabisa mazee
nyani ngabu??
Kiranga Mkuu tunaomba basi upige simu ili tusikie maoni yako.Mbunge kupitishwa bila kupingwa is a byach, unconstitutional even.
Huyo mgombea ni yule aliyeongwa na mkono ?
Nimetoka kuongea na baadhi ya watu walioko bongo wanadai ccm kweli iko taabani labda waibe kura ama walete umwagaji damu.hureeeeee, mpiga simu tokea Temeke Tanzania
MUNGU akubariki mzee wetu, mtoeni Kikwete madarakani na ccm yake.
Nimetoka kuongea na baadhi ya watu walioko bongo wanadai ccm kweli iko taabani labda waibe kura ama walete umwagaji damu.
ndio huyo huyo, fisadi Mkono alinunua kura zote za Chedema kisha akajitangaza kupita bila kupingwa!
wera weraaaaaa!!! thanks mzee GQ naona umenirusha inapendeza sana
naona kapiga simu jamaa kutika temeke NI MMOJA WA WALE WAZEE WA EAST AFRICA
ongea naye huyo jamaa akapige kura ,naona jamaa anastaka asipige kura.
mwaka huu mpaka kieleweke mkuu.... ccm wako kwenye hali mbaya.
CHADEMA musoma vijijini inauza kura?
Mgombea wa ccm alimnunua mgombea wa Chadema musoma vijijini.
Kiranga Mkuu tunaomba basi upige simu ili tusikie maoni yako.
Lakini hawa wazee wa Temeke ndio wale waliokuwa wanamwimbia Kikwete siku ile ya speech ya mbayu-wayu, walikuwa wamevaa jezi za kijani....., wanasema sema baba sema.....,
nilikuwa naangalia tv wakawa wanaonyesha manyani na twiga wametoa africa kule wanauzwa si chini ya dola 5000/= kwa hiyo kumbe inawezekana wengine wametolewa bongo? leh!!Sio madini tu NYani, wanachukua hata Twiga wetu kule Loliondo wakiwa hai, badala ya kuwinda wanachukuwa wanyama hai kwenda kwenye zoo zao huko arabuni.. Tena Kinana anatumika saaana hapo Loliondo.
Piga simu A lady....Hata vilio husikilizwa!Mie mwenzenu nasikia kulia jinsi tunavyoibiwa!