Kwa staili hii tutafika jamani? Hii ni fashion, utandawazi au ndio usharubaro wa kike?
Amenona! Hawa wa hivi ndio chaguo langu
Kwa staili hii tutafika jamani? Hii ni fashion, utandawazi au ndio usharubaro wa kike?
Kweli..wanawake wakiwezeshwa wanaweza lol
Hapo ingeleta maana zaidai.Nafikiri title ya thread iwe hivi: "Bongo na utandauchi"
kwa walaji mishikaki bureeee hama kweli siku zinasogea
hivi kama anawazazi na wanaona hivo kwa mwana wao inakuwaje jamani maadili kushney
Conquest-We inherite nothing from them but we take as life style