Wanajf mie huwa nashindwa majina ya mitaa hii ya bongo yana maana gani? Ulaya utakuta jina lina la mtaa lina maana kubwa sana ila huku kwetu baadhi sijui kabisa.
Mfano.
1. Kwanyamafi- upo musoma
2. Mtokenge- upo mwanza
3.mtimanyongo-upo mbagala Dar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.