kazikubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 597
- 145
Kwa kipindi cha miaka kumi hivi sasa tumeshuhudia mahusiano ya kimapenzi kati ya wasanii wa tasnia tofauti wakipeana uroda. Lakini ukipitia kumbukumbu utagundua kuwa wanaume wa bongo flavours ndio wanaoongoza kuwapiga mikasi bongo movies. Kwa mfano:-
1. Juma nature vs Sinta
2. Mr. Nice vs Jini Kabula
3. Shemeji Diamond Vs Wema
4. Shemeji Diamond Vs Jokate
5. Nay wa Mitego Vs Nisha
6. Timbulo Vs Shilole
7. Barnabas Vs Shilole
8. Bwana Misosi Vs Amanda
9. Bushoke Vs Jini Kabula
10. H. Baba Vs Flora Mvungi N.k (Nashindwa kufikiria) kwa kizungu e.t.c ( end of my thinking capacity)
Kutokana na takwimu hizo nina maswali mengi ya kujiuliza
1. Mademu wa Bongo Movies ni maji ya mbeya au wanajigonga kwa Bongo Flavours?
2. Wanaume wa Bongo Flavours wanajua mapenzi kuliko wanaume wa Bongo Movies?
3. Wanaume wa Bongo flavours wana mahela kuliko Bongo movies?
4. Wanaume wa Bongo movies wanawahofia wanawake wa Bongo flavours?
5. Wanaume wa Bongo movies hawana sababu ya kuhangaika kwa sababu mademu wa bongo movies wapo wa
kumwaga?
Wajuzi mlio jirani na hawa vituko embu tupeni data nasi tuelewe vema.
1. Juma nature vs Sinta
2. Mr. Nice vs Jini Kabula
3. Shemeji Diamond Vs Wema
4. Shemeji Diamond Vs Jokate
5. Nay wa Mitego Vs Nisha
6. Timbulo Vs Shilole
7. Barnabas Vs Shilole
8. Bwana Misosi Vs Amanda
9. Bushoke Vs Jini Kabula
10. H. Baba Vs Flora Mvungi N.k (Nashindwa kufikiria) kwa kizungu e.t.c ( end of my thinking capacity)
Kutokana na takwimu hizo nina maswali mengi ya kujiuliza
1. Mademu wa Bongo Movies ni maji ya mbeya au wanajigonga kwa Bongo Flavours?
2. Wanaume wa Bongo Flavours wanajua mapenzi kuliko wanaume wa Bongo Movies?
3. Wanaume wa Bongo flavours wana mahela kuliko Bongo movies?
4. Wanaume wa Bongo movies wanawahofia wanawake wa Bongo flavours?
5. Wanaume wa Bongo movies hawana sababu ya kuhangaika kwa sababu mademu wa bongo movies wapo wa
kumwaga?
Wajuzi mlio jirani na hawa vituko embu tupeni data nasi tuelewe vema.