mwacheni77
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 763
- 209
kama unahisi unachokihisi ktk ile movies basi ujue ujumbe umefika kwa walengwa,kazi ya fasihi ni kufundisha,kukosoa,kuelimisha,kulaumu so ujumbe alioukusudia kanumba umefika palipo hitajika,ngugi wa thiong anasema ukisoma kitabu chake mpaka mwisho alafu hujaelewa basi wewe sio hadhira wake(ujumbe haukuhusu)waliotendwa na wanawake wameielewa vizuri sana ile movies.