Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,080
Ningelikuwa mimi ni Meya wa jıjı la Dar wallahi haya magari yangelikuwepo hapo Dares-Salaam.
Last edited by a moderator:
Mkuu@Narubongo Hahahah sema Mangi? mimi ni mzaramo wa Bwagamoyo bwana Mzaramo kapanda ndege wacha !!!! Mzaramo anataka Maendeleo SiSiEmu haitaki Maendeleo bwana wacha weeemzaramu wa kitunda kwenda ulaya imekuwa nongwa
Mkuu@Narubongo Hahahah sema Mangi? mimi ni mzaramo wa Bwagamoyo bwana Mzaramo kapanda ndege wacha !!!! Mzaramo anataka Maendeleo SiSiEmu haitaki Maendeleo bwana wacha weee
maendeleo hayapatikani mlingotini na mbegani
@Narubongo huko kuna nuka Uchawi Maendeleo yanapatikana mjini moshi au mjini Dares-Salaam mangi upo?maendeleo hayapatikani mlingotini na mbegani
mzaramu wa kitunda kwenda ulaya imekuwa nongwa
kaole ni wavivu sana, kiromo kidogo wanalima maembe na minaziMaendeleo yanapatikana Pande Kaole na Kiromo hahaha
@Narubongo huko kuna nuka Uchawi Maendeleo yanapatikana mjini moshi au mjini Dares-Salaam mangi upo?