Inaelekea patakuwa hapatoshi humu jukwaani hiyo thread ikija.. Mi nangoja kwa hamu. Mphamvu
Preta mimi na wewe tumeanza kuzenguana lini, hata ufikie hatua ya kwenda kuninywea Castle Lite (lakini iliyokamuliwa viroba chapa Jogoo ndani yake). Au mpaka nilambe kidole cheye mchanga na kusema "Hakyanani vile..." ndo uamini kama we are here for serious matters?
Watu tulimsubiri Pinda mpaka Jumatatu yake na bado akaja kuzingua, sembuse Mphamvu hata masaa 72 bado?
Loh, wacha hiyana mtoto mzuri.
For JF's sake Mphamvu won't let you down.
Sawasawa?
sawa nitasubiri....ila usikawie...umenifanya jana nikanywa castle nyingi sana.....ukichelewa nakunywa jack daniel....