INGENJA
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 4,990
- 4,255
Kama ilivyokawaida yangu yazungukia mitandao mbalimbali siku ya Jmos,nikakutana na habari hii "Lord Eyez akamatwa kwa kuiba vifaa vya gari ya Ommy dimpoz".Pia kukiwa na tweet ya huyo bwana mdogo kulala mmika kuibiwa na kuvifuma
vitu alivyo ibiwa kwa kamanda kutoka weusi Company
Vifaa vilivyo ibwa ni pamoja na Power window.Katika msara huu inaonyesha Lord Eyez ndio King kunaviajana wake anawatuma kufanya hiyo kazi.
Chanzo;VITUKO VYA MTAA
vitu alivyo ibiwa kwa kamanda kutoka weusi Company
Vifaa vilivyo ibwa ni pamoja na Power window.Katika msara huu inaonyesha Lord Eyez ndio King kunaviajana wake anawatuma kufanya hiyo kazi.
Chanzo;VITUKO VYA MTAA