K KakaNanii JF-Expert Member Sep 28, 2008 325 52 Oct 6, 2010 #1 Kama ingekuwa hapa BONGO bibi harusi angeingia mitini !!! Mnaona wenzetu wanzungu walivyokuwa na upendo wa kweli !!!!!! Attachments HARUSI YA KUFANA-JAMII.jpg 37.3 KB · Views: 319
Kama ingekuwa hapa BONGO bibi harusi angeingia mitini !!! Mnaona wenzetu wanzungu walivyokuwa na upendo wa kweli !!!!!!
L Luveshi Senior Member May 22, 2010 186 71 Oct 6, 2010 #2 Watavumiliana kwenye shida na raha hao............
P PhD JF-Expert Member Jul 15, 2009 4,598 3,671 Oct 7, 2010 #3 Luveshi said: Watavumiliana kwenye shida na raha hao............ Click to expand... kwenye milima na mabonde
Luveshi said: Watavumiliana kwenye shida na raha hao............ Click to expand... kwenye milima na mabonde
TUKUTUKU JF-Expert Member Sep 14, 2010 11,765 4,033 Oct 7, 2010 #4 Du!huyo bibi harusi ni wa ukweli,ni wa kufa na kuzikana.
minda JF-Expert Member Oct 2, 2009 1,068 65 Oct 7, 2010 #5 ah hawa si wapya walishaonjana siku nyingi wamebariki ndoa tu na ndio maana wakaamua kufanya mambo kivyao!!!
ah hawa si wapya walishaonjana siku nyingi wamebariki ndoa tu na ndio maana wakaamua kufanya mambo kivyao!!!
Mtende JF-Expert Member Sep 27, 2010 6,385 7,295 Oct 7, 2010 #6 PhD said: kwenye milima na mabonde Click to expand... kwenye njaa na shibe pia magonjwa na tabu
Ngangasyonga JF-Expert Member Sep 13, 2010 455 70 Oct 7, 2010 #7 kweli hawa ni mpaka kifo kiwatenganishe!!