Wakuu poleni na sikukuu
Ombi langu kwenu ni wapi nitapata bonde lenye maji msimu wote wa mwaka kwa ajili ya kilimo cha mbogamboga
na mahindi ya mkwanyuo ninayo PUMP tatizo shamba tu.
Wakuu poleni na sikukuu
Ombi langu kwenu ni wapi nitapata bonde lenye maji msimu wote wa mwaka kwa ajili ya kilimo cha mbogamboga
na mahindi ya mkwanyuo ninayo PUMP tatizo shamba tu.