Wabondei 2 walipanga kwenda kuiba duka la dhahabu, usiku ulipoingia wakaenda na kuiba dhahabu zote, cha kushangaza asubuhi polisi walipokuja walimkuta mmoja pale dukani , walipomuuliza akawaambia mimi na mwenzangu tumegawana yeye achukue dhahabu mimi nichukue duka.